Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Kiswahili Fasihi Simulizi Lessons and Notes

Maana na Sifa za ngomezi

 (4m 35s)
10303 Views     SHARE

Download as pdf file

Answer Text:
Ngomezi
-Uwasilishaji wa ujumbe kwa kupiga ngoma au zana nyingine ya kimziki.
Sifa za ngoma
a) Kuwepo kwa ngoma au ala nyingine kama panda.
b) Mapigo ya ngoma hueleweka tu na jamii husika.
c) Mapigo kufuata toni maalum kuwasilisha maneno fulani.
d) Kuwepo kwa hadhira au wasikilizaji.


|