Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Kiswahili Fasihi Simulizi Lessons and Notes

Vigezo vya Kuainishia Methali/Kuziweka Pamoja na kuzichambua
a) Mandhari/mazingira k.m. kilimo.
-Ukipanda pantosha utavuna pankwisha.
-Jembe halimtupi mkulima.
b) Maudhui k.m. ulezi
-Samaki mkunje angali mbichi.
-Mcha mwana kulia hulia yeye
c) fani/tamathali k.m. takriri
-Haba na haba hujaza kibaba
-Mtoto wa nyoka ni nyoka.
d) Jukumu k.m. kuonye
-Asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
-Ukiambiwa jiambie usijeishia kumbe.
f) Maana k.m. sawa
- Haraka haraka haina baraka.
- Polepole ndio mwendo.

 (5m 16s)
11190 Views     SHARE

Download as pdf file


|