Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Kiswahili Fasihi Simulizi Lessons and Notes

Maana na Sifa za nyimbo mbolezi

 (5m 44s)
10945 Views     SHARE

Download as pdf file

Answer Text:
Mbolezo/Mbolezi
-Nyimbo za kuomboleza.
Sifa za mbolezi
a) Huimbwa wakati wa maafa, kifo, makumbusho ya mtu au kushindwa katika jambo k.v. vita.
b) Huimbwa kwa sauti ya chini.
c) Hutofautiana kutoka jamii moja hadi nyingine.
d) Huwa na mapigo ya polepole au taratibu.
e) Huimbwa kwa toni ya huzuni/uchungu kuibua hisia za ndani za mwombolezaji.
f) Aghalabu haziandamani na ala.


|