Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Kiswahili Fasihi Simulizi Lessons and Notes

Matumizi ya lugha katika methali: Takriri, Balagha:
Takriri
a) Haba na haba hujaza kibaba.
b) Chovya chovya humaliza buyu la asali.
c) Hauchi hauchi unakucha.
d) Hayawi hayawi huwa.
e) Mtoto wa nyoka ni nyoka.
f) Bandu bandu huisha gogo.

Balagha
a) Pilipili usiyoila yakuwashiani?
b) Angurumapo samba mcheza ni nani?
c) Wameshindwa wenye pembe seuze wewe kipara?
d) Simba mla watu akiliwa huwani?
e) Mzigo uko kichwani, kwapa lakutokeani jasho?
f) Mavi usiyoyala wayawingiani kuku?
g) Mla ni mla leo mla jana kalani?

 (3m 52s)
5577 Views     SHARE

Download as pdf file


|