Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Kiswahili Fasihi Simulizi Lessons and Notes

Sifa na lengo la tenzi au tendi

 (7m 57s)
7102 Views     SHARE

Download as pdf file

Answer Text:
Sifa za tenzi/tendi
a) Huwa masimulizi yanayotolewa kishairi.
b) Hutoa wasifu wa shujaa.
c) Huwa na matumizi ya chuku.
d) Wahusika hupewa sifa zisizo kawaida (kiungu).
e) Ni masimulizi mrefu.
f) Matumizi ya sitiari
g) Huangazia matendo ya mashujaa.
Lengo la tendi/tezi
a) Kuburudisha wanajamii.
b) Kusifu mashujaa wa jamii.
c) Kukuza uzalendo kwa kuhimiza wengine kuwaiga mashujaa.
d) Kukuza ubunifu.
e) Kuimarisha uwezo wa kukumbuka kwa kutungwa na kuhifadhiwa akilini.


|