Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Kiswahili Fasihi Simulizi Lessons and Notes

Umuhimu wa hekaya/ngano za ayari.
a) Hutahadharisha watu dhidi ya kuhadaika kwa wepesi.
b) Huonya dhidi ya matokeo yanayoweza kuwapata wanaojinyakulia mali kwa udanganyifu.
c) Kuonya dhidi ya usaliti.

 (3m 8s)
12333 Views     SHARE

Download as pdf file


|