Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Kiswahili Fasihi Simulizi Lessons and Notes

Majukumu ya nyimbo mbolezi

 (3m 56s)
4556 Views     SHARE

Download as pdf file

Answer Text:
Majukumu ya mbolezi
a) Kuwafariji au kuwasaidia waliofiwa kukabiliana na uchungu wa kupoteza mpendwa wao.
b) Kusifu aliyekufa kwa kutoa sifa zake
c) Kubembeleza roho za wafu(mizimu) ili kusitokee maafa mengine.
d) Kuonyesha msimamo wa jamii kuhusu matokeo ya kifo
e) Kutakaswa hisia za huzuni za aliyefiwa kumpunguzia uzito wa kumpotezea mpendwa wake.


|