Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Kiswahili Fasihi Simulizi Lessons and Notes

Majukumu ya nyimbo za hodiya

 (3m 30s)
4248 Views     SHARE

Download as pdf file

Answer Text:
Majukumu ya hodiya
a) Kuburudisha watu wakifanya kazi.
b) Kurahisisha kazi kwa kupunguza fikra za uchovu.
c) Kuhimiza bidii kazini.
d) Kuhimiza watu wapende kazi zao.
e) Kuondoa uchovu na ukinaifu wakati wa kazi.
f) Kuwatia moyo wafanyakazi


|