Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Kiswahili Fasihi Simulizi Lessons and Notes

Umuhimu wa maapizo

 (3m 36s)
3321 Views     SHARE

Download as pdf file

Answer Text:
Umuhimu wa maapizo
a) Kuonya na kutahadharisha wanajamii dhidi ya maovu.
b) Kutambulisha jamii kwani kila mojawapo ina aina yake ya kuapiza.
c) Kukuza umoja katika jamii kwani kaida na miiko hufanya wanajamii kujihisi kuwa kitu kimoja.
d) Kuadilisha wanajamii kwa kujifunza kutenda mema.


|