Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Kiswahili Fasihi Simulizi Lessons and Notes

Tanakali za Sauti (Onomatopeya) : Mifano na sifa za onomatopeya
-Maneno ambayo huiga sauti ya jambo, tendo au tukio fulani

Mifano
a) Boboka bobobo! -payuka ovyo ovyo
b) Bwakia bwaku -akia upesi upesi
c) Bwatika bwata -enda chini kwa mshindo

Sifa za Onomatopeya
a) Ni kauli fupi.
b) Ni miigo ya sauti zinazotokea baada ya tendo fulani.
c) Hazina muundo maalum.
d) Hujumuishwa katika fani nyingine.
e) Hutumia takriri.

 (5m 46s)
16251 Views     SHARE

Download as pdf file


|