Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Kiswahili Fasihi Simulizi Lessons and Notes

Umuhimu wa ngano za mashujaa :
a) Kuhimiza uzalendo na ujasiri miongoni mwa vijana.
b) Kuhimiza ujasiri miongoni mwa vijana.
c) Kusifu mashujaa katika jamii.
d) Kuelimisha jamii kwa kuwapa maarifa ya
kukabiliana na changamoto.
...........

 (5m 14s)
4381 Views     SHARE

Download as pdf file


|