Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Kiswahili Fasihi Simulizi Lessons and Notes

Maana na Sifa za rara

 (4m 26s)
5005 Views     SHARE

Download as pdf file

Answer Text:
Rara
-Hadithi fupi na nyepesi za kishairi zenye visa vya kusisimua.
Sifa za rara
a) Huhusu mambo ya kubuni au ya kweli k.v. sherehe ya uhuru, kesi ya mauaji, n.k.
b) Huhusu maswala ibuka na ya kawaida.
c) Hadithi huwasilishwa katika beti.
d) Huimbwa.
e) Huandamana na ala za mziki.


|