Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Kiswahili Fasihi Simulizi Lessons and Notes

Umuhumi wa ngano aina ya hurafa.
a) Kutahadharisha watu dhidi ya kuwa wadanganyifu/kudangan yika kwa urahisi.
b) Kuonyesha jinsi tabia ya udanganyifu inavyoweza kujitokeza na kuathiri watu.
c) Hurafa za kijanja hufunza jinsi ya kupambana na hali ngumu.

 (2m 45s)
6761 Views     SHARE

Download as pdf file


|