Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Kiswahili Fasihi Simulizi Lessons and Notes

Sifa za lakabu:
a) Huwa neno au fungu la maneno kadha.
b) Huwa na maana iliyofumbwa.
c) Huoana na sifa hasi au chanya za aliyepewa.
d) Huwa za kusifu au kudhihaki.
e) Huweza kudumu hata kusahaulisha jina halisi la mtu.
f) Hutumia sitiari k.m. chui kumaanisha mkali.
g) Hushika sana kimatumizi miongoni mwa watu.

 (4m 38s)
9560 Views     SHARE

Download as pdf file


|