Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Kiswahili Fasihi Simulizi Lessons and Notes

Changamoto za Ngomezi katika Jamii ya Sasa

 (3m 33s)
7073 Views     SHARE

Download as pdf file

Answer Text:
Changamoto za Ngomezi katika Jamii ya Sasa
a) Mwingiliano wa jamii mbalimbali unaosababisha kutofasiri ujumbe kwa njia moja inayotakikana.
b) Viwanda na majumba marefu kusababisha kutosikika kwa sauti.
c) Njia nyingine za kisasa za mawasiliano zinazotumiwa kwa wingi na kwa wepesi.
d) Uhaba wa zana kama baragumu.


|