Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Kiswahili Fasihi Simulizi Lessons and Notes

Sifa za matambiko

 (4m 17s)
8005 Views     SHARE

Download as pdf file

Answer Text:
Matambiko
-Utoaji wa kafara kwa Mungu, miungu, pepo au mizimu ili wasaidiwe kutatua shida, kutoa shukrani au kuomba radhi.
Sifa za matambiko
g) Hutolewa na wazee maarufu walioteuliwa.
h) Hufanywa mahali maalum k.v. pangoni na mwituni.
i) Huandamana na sala.
j) Huandamana na utoaji kafara k.v. kuchinja mbuzi.
k) Huandamana na maombi.


|