Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Kiswahili Fasihi Simulizi Lessons and Notes

Umuhimu wa semi :
a) Kuonya k.m methali, ‘Asiyesikia la mkuu huvunjika guu.’
b) Kukuza uwezo wa kufikiri k.m. vitendawili na chemsha bongo.
c) Kutafsidi lugha au kupunguza ukali wa maneno k.m. nahau ‘jifungua’ badala ya ‘zaa’.
d) Kuburudisha k.m. vitendawili, chemsha bongo na vitanza ndimi.
e) Kuelimisha k.m. kutofanya mambo kwa pupa-mla kwa pupa hadiriki kula tamu.
f) Kuongeza utamu katika lugha.
g) Kuboresha matamshi k.m. vitanza ndimi.
h) Kukuza lugha k.m misimu.

 (5m 34s)
9448 Views     SHARE

Download as pdf file


|