Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Kiswahili Fasihi Simulizi Lessons and Notes

Takriri, Tabaini, Ritifaa na Taaruki:

Takriri -Urudiaji wa neno au mafungu ya maneno. Mfano;alicheka, akacheka.

Tabaini -Msisitizo kwa njia ya kinyume kwa kutumia kikanushio si.

Ritifaa -Kusemesha asiyekuwapo kama yupo.

Taharuki -Kuacha msomaji akiwa na hamu ya kutaka kujua kipi kitakachojiri halafu.

 (4m 37s)
10392 Views     SHARE

Download as pdf file


|