Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Kiswahili Fasihi Simulizi Lessons and Notes

Maana na Sifa za mawaidha

 (4m 32s)
16299 Views     SHARE

Download as pdf file

Answer Text:
Mawaidha
-Mazungumzo ya kutoa ushauri kuhusu jambo fulani.
Sifa za mawaidha
a) Huwasilishwa mbele ya watu.
b) Hugusia takriban vipengele vyote vya maisha ya binadamu.
c) Aghalabu hutolewa na watu wenye umri mkubwa.
d) Hulenga maudhui maalum na ya aina nyingi kutegemea jinsia, umri, shughuli, n.k.
e) Hutumia lugha ya kubembeleza.
f) Hutumia lugha ya kuathiri hisia.


|