Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Maswali na majibu ya tumbo lisiloshiba na hadithi zingine

Eleza sifa za wahusika wafuatao.
i) Mwalimu Mosi
ii) Jairo

 (5m 13s)
6841 Views     SHARE

Download as pdf file

Answer Text:
Eleza sifa za wahusika wafuatao.
i) Mwalimu Mosi
(a) Ni karimu
-Anampa Jairo zawadi alizopewa katika sherehe ya kumuaga.
-Anakubali mke wa Jairo na watoto wake waishi kwake.
-Alimpeleka mtoto wa Jairo shule na kumnunulia kitabu.
(b) Ana utu
-Anasisitiza watu waliofika katika sherehe ya kumuaga na hawakufaulu maishani wapewe fursa ya kutoa hotuba.
-Hakukasirishwa na yaliyosemwa na Jairo na alimpa zawadi zake zote.
(c) Ana utu kwani alikubali kuishi na mke wa Jairo kwake.
-Aliwafunza wanafunzi wake vizuri na mwishowe wakawa watu wenye vyeo katika jamii.
(d) Ni msiri.
-Alipompatia Jairo zawadi zake hakumwambia mkewe.
-Alikuwa tayari kukosolewa.
ii) Jairo
-Alikuwa mwanafunzi wa mwalimu mstaafu
-Alikuwa mtu ovyo
-Hali yake ya umaskini ilimfanya amlaumu mwalimu kwa kumpa tumaini za uongo.
-Hakufanya vizuri masomoni.
-Alishiriki ulevi.
-Aliamini pombe ilimpa raha ya kuishi.
-Alikosa uwajibikaji ndiposa akampeleka mkewe na watoto wake kwa mwalimu.


|