Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Maswali na majibu ya tumbo lisiloshiba na hadithi zingine

-Kwa kuzingatia hadithi zozote tano eleza uozo wa jamii kama unavyojitokeza katika tumbo lisiloshiba (Diwani)

 (6m 43s)
6712 Views     SHARE

Download as pdf file

Answer Text:
Kwa kuzingatia hadithi zozote tano eleza uozo wa jamii kama unavyojitokeza katika tumbo lisiloshiba (Diwani)
Uozo wa jamii
a) Tumbo lisiloshiba
- Dhuluma na unyanyashaji
Ardhi ya wanamadoporokomoka inatwaliwa na wenye nguvu.
- Tamaa ya wenye mabavu
- Ulafi wa jitu pale mgahawani pa Mago
- Ukosefu wa haki kwa ukandamizaji wa wanyonge
- Ukatili wa viongozi serikalini
b) Mapenzi ya kifaurongo
- Ubinafsi wa Penina
- Ubaguzi wa kitabaka
- Utabaka baina ya matajiri na maskini.
c) Shogake dada ana ndevu
- Unafiki safia na kimwana, vijana wa shule ya msingi.
- Uongo wa safia na kimwana
- Utepetevu katika malezi ya Bw. Masudi na Bi. Hamida.
- Uavyaji mimba.
d) Masharti ya kisasa.
- Migogoro katika ndoa baina ya Dadi na Kidawa.
- Kuingilia ndoa kwa pupa-Dadi na Kidawa.
- Kushukiana katika ndoa-Dadi anamshuku Kidawa kuhusiana na mwalimu mkuu.
e) Nizikeni papa hapa
- Oti kuingiliana na wanjiru katika mapenzi ya kiholela
- Usamabaji wa ukimwi
- Kupuuza / kubeza maamuzi ya mtu katika maisha.
- Jamii kusahau mashujaa wa baada ya kuugua – Otii alisahaulika.
Maisha kupotea kutokana na ajali – uendeshaji mbaya.


|