Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Uchambuzi wa tamthilia ya Kigogo (Pauline Kea)

Uchambuzi wa Onyesho la pili, tendo la pili katika tamthilia ya kigogo

 (3m 43s)
3079 Views     SHARE

Download as pdf file

Answer Text:
Tendo la pili
-Husda anamkabili Ashua kwa hasira, anamtusi kuwa kidudumtu, shetani wa udaku na mwenye kuwinda wanaume wa watu.Wanaangushana na Ashua kuzabwa makofi.
-Sauti ya kenga inamjia Majoka akilini kuwa soko lifungwe ili kulipiza kisasi kwa Sudi na Ashua, kisha Ashua aitwe ofisini na Husda wakabiliane.
-Mwango na Chopi wanawachukua Ashua na Husda ndani, agizo linatolewa Husda atolewe ndani baada ya nusu saa.
Wazo kuu
-Wanyonge hutafutwa kwa lolote lile na kunyanyaswa.Viongozi hutumia mamlaka yao hata kupanga njama kuwateka wanyonge,Ashua kutiwa ndani ni njama iliyopangwa.


|