Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Uchambuzi wa tamthilia ya Kigogo (Pauline Kea)

Sifa za Husda katika tamthilia ya kigogo

 (3m 46s)
3102 Views     SHARE

Download as pdf file

Answer Text:
Sifa za Husda
1.Ni mkewe Majoka.
Ni mwenye tamaa ya mali.
Anaolewa na Majoka kwa sababu ya pesa na wala si mapenzi halisi
2.Ni mkali.
Anasema atamuua mtu anapompata Ashua na Majoka.
3.Ni mnafiki
Majoka anadai kuwa Husda ni kama mnyama hatari ndani ya ngozi ya kondoo.
4.Mpyaro.
Anamtusi Ashua na kumwita kidudumtu na mdaku.
5.Mbinafsi.
Husda ana ubinafsi,anaolewa sababu ya mali ili kujinufaisha.


|