Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Uchambuzi wa tamthilia ya Kigogo (Pauline Kea)

Uchambuzi wa onyesho la nne,Tendo la kwanza katika tamthilia ya kigogo

 (5m 30s)
2241 Views     SHARE

Download as pdf file

Answer Text:
Uchambuzi wa onyesho la nne. Tenzo la kwanza
-Ni nyumbani kwa kina Tunu,Bi.Hashima anapepeta mchele huku akiimba.Siti anafika na habari kuwa wahame Sagamoyo sio kwao.
Hali Sagamoyo inaonekana kubadilika ardhi inateketea namito na maziwa yanakauka. Kigogo
amefungulia biashara ya ukataji miti.
-Tunu anafika akihema baada ya kuota kuwa Mzee Marara anamfukuza akitaka mkufu wake wa dhahabu.
-Tunu amaumizwa mfupa wa muundi,uvumi unaenea kuwa Sudi na Ashua ndio wanawinda roho ya Tunu.
Tunu anataka kukutana na Majoka na watu wake.Hashima anaona hatari Tunu akienda kukutana nao.
Wazo kuu.
-Hali Sagamoyo inazidi kubadilika, kiangazi kimesababishwa na kigogo kufungulia ukataji miti, viongozi hawajali maslahi ya wananchi.
Viongozi hueneza uvumi ili kutawanya wananchi, hata hivyo; vijana wamejitolea kujenga jamii mpya licha ya vikwazo vinavyowakumba.


|