Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Uchambuzi wa tumbo lisiloshiba: Kidege (Robert Oduori)

Dhamira ya mwandishi katika hadithi ya Kidege

 (2m 53s)
6514 Views     SHARE

Download as pdf file

Answer Text:
Dhamira ya mwandishi katika hadithi “Kidege”
-Mwandishi wa hadithi hii amedhamiria kubainisha kuwa umoja na mshikamano ndiyo nguzo imara ya mnyonge.
- Kama wanyonge wakishikamana, kwa umoja wao wanaweza kuondosha wavamizi wote wanaowadhulumu rasilimali na haki zao.
- Wanyonge hawa wanawakilishwa na videge vidogo vinavyodonoa na kutia sumu machoni pa midege mikubwa inayodhulumu visamaki vidogo.


|