Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Uchambuzi wa Riwaya ya Chozi La Heri (Assumpta K. Matei)

Mhusika Hazina na sifa zake katika riwaya ya chozi la heri

 (2m 30s)
2905 Views     SHARE

Download as pdf file

Answer Text:
Mhusika Hazina na sifa zake
-Kijana anayesaidiwa na Umu barabarani.
a)Ni msomi.
Alienda shuleni na kupata elimu. Uk 88,"Nilipelekwa shuleni nikasoma, nina elimu japo akali. Amesomea upishi na huduma za hotelini katika chuo.
b) Mwenye upendo
-Anamwita Umu anapomwona, kwa kukumbuka wema aliomtendea wakati mmoja. Hazina alimpeleka Umu kwenye hoteli na kumpa chakula mpaka akashiba. Aliahidi pia kumsaidia Umu, na akampeleka kwao nyumbani.(uk.89)


|