Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Uchambuzi wa Riwaya ya Chozi La Heri (Assumpta K. Matei)

Sifa za Mhusika Mwanaheri katika riwaya ya chozi la heri

 (2m 40s)
4597 Views     SHARE

Download as pdf file

Answer Text:
Mhusika Mwanaheri
-Huyu ni mwanawe mzee Kaizari.
Sifa.
a)Ni mpenda mashairi.
-Anawaelezea wenzake kuwa alijaribu kupalilia kipawa chake cha kughani mashairi mepesi uk 93.
b) Ni msomi.
-Anaendeleza masomo yake pamoja na wenzake, akina Kairu.
c)Ni mvumilivu.
-Anayapitia mambo machungu tangu kuachwa na mamake, mpaka wakati walipomzika katika kaburi la sahau.


|