Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.
  OR
Processing. Please wait.

 Uchambuzi wa tumbo lisiloshiba: Masharti ya Kisasa (Alifa Chokocho)

Sifa za mhusika Dadi katika hadithi Masharti ya Kisasa-Alifa Chokocho

 (4m 24s)
4765 Views     SHARE

Download as pdf file

Answer Text:
Sifa za mhusika Dadi katika hadithi “Masharti ya Kisasa”-Alifa Chokocho
-Huyu ni mchuuza samaki. Alimpenda mwanamke mmoja Kidawa kupita kiasi. Dadi alijaribu kumpata Kidawa kwa kila njia lakini hakuweza.
-Ana bidii maishani:anachuuza samaki kwa bidii hadi wamalizike ili
kumsaidia ayakimu maisha ya aila yake Kidawa.
-Mwenye msimamo hasi: anayumbishwa na maneno ya watu hadi akakosa raba kabisa.
-Ni jasiri: anaamua kumfuata mkewe Kidawa hadi chuoni ili kupata ukweli wa mambo.
-Ni mdadisi: Anachunguza hali ya mkewe na sababu ya kujirembesha akitoka kuelekea kazini.


|