Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.

Kiswahili Paper 3 Form 3 End of Term 1 Examination 2020

Class: Form 3

Subject: Kiswahili

Level: High School

Exam Category: Form 3 End Term 1 Exams

Document Type: Pdf

    

Views: 1202     Downloads: 42

Exam Summary


Kiswahili Paper 3 Form 3 End of Term 1 Examination 2020
This file contains questions and the Marking scheme in it. Below is a preview of the questions


SEHEMU A;USHAIRI

1.Lisome shairi hili kasha ujibu maswali

Msituni nikakuta ,Nyuki wamo mzingani,
kwa juhudi wanakita ,mara nje mara ndani,
Husuda wameikata,hata hawasengenyani,
Nyuki ni wadudu duni,wanashinda kwa umoja.


Mchwa nao nikaona ,wamejenga masikani,
Wafanya bidii sana,uvivu hawatamani.
Wao husaidiana ,tena hawadanganyani
Mchwa wadudu wa chini,wanaishi kwa umoja.

Nalo jeshi la siafu,hutandawaa njiani,
Laenda bila ya hofu,maana lajiamini,
Silaha zao dhaifu,meno,tena hawaoni,
Wa kuwatadia nini?kwani wanao umoja

Nao chungu wachukuzi,nyama warima njiani,
Masikini wapagazi,mizigo ya kichwani,
Ingawa si wachokozi,wakali ukiwahini,
Katu hawafarakani,wanadumu kwa umoja.

Sisi ni wana Adami,mbona hatusikizani,
Tusiletie hamu,ukubwa kuutamani,
Wachache wataalamu,tuwasidi kwa imani
Hii “huyu awezani” Yatuvunja umoja

 

More Examination Papers