Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.

Kiswahili Paper 1 Form 3 End of Term 1 Examination 2020

Class: Form 3

Subject: Kiswahili

Level: High School

Exam Category: Form 3 End Term 1 Exams

Document Type: Pdf

    

Views: 1838     Downloads: 57

Exam Summary


Kiswahili Paper 1 Form 3 End of Term 1 Examination 2020
This file contains questions and the Marking scheme in it. Below is a preview of the questions


Maswali

1. LAZIMA
Wewe ni raia katika nchi ya Tomoko. Mwandikie barua mhariri wa gazeti la Mzalendo ukitoa maoni yako jinsi serikali yako inavyoweza kupunguza umaskini nchini.

2. “Utandawazi una athari mbaya katika maisha ya vijana.” Jadili.

3. Andika insha inayodhihirisha maana ya “Mchelea mwana kulia hulia yeye”

4. Kamilisha insha yako kwa maneno :..............sitaisahau siku hiyo kwani sijawahi kufedheheka kama nilivyoaibika siku hiyo

 

More Examination Papers