Get premium membership and access revision papers with marking schemes, video lessons and live classes.

Kiswahili Form 4 Opener Term 1 Examination 2020

Class: Form 4

Subject: Kiswahili

Level: High School

Exam Category: Form 4 Opener Exams

Document Type: Pdf

    

Views: 992     Downloads: 21

Exam Summary


Kiswahili Form 4 Opener Term 1 Examination 2020
This file contains questions and the Marking scheme in it. Below is a preview of the questions


A. Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali
Nikiwa na njaa na matambara mwilini
Nimehudumika kama hayawani
Kupigwa na kutukanwa
Kimya kama kupita kwa shetani
Nafasi ya kupumzika hakuna
Ya kulala hakuna
Ya kuwaza hakuna
Basi kwani hili kufanyika
Ni kosa gani lilotendeka
Liloniletea adhabu hii isomalizika?

Ewe mwewe urukaye juu angani
Wajua lililomo mwangu moyoni
Niambie pale mipunga inapopepea
Ikatema miale ya jua
Mamangu bado angali amesimama akinisubiri?
Je nadhari hujitokeza usoni
Ikielekea huku kizuizini?
Mpenzi mama, nitarudi nyumbani
Nitarudi hata kama ni kifoni
Hata kama maiti yangu imekatikakatika
Vipande elfu, elfu kumi
Nitarudi nyumbani
Nikipenya kwenye ukuta huu
Nikipitia mwingine kama shetani
Nitarudi mpenzi mama...
Hata kama kifoni.

 

More Examination Papers